Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, juzi Jumapili ilizindua rasmi kampeni mpya ijulikanayo kama Tumekusoma sambamba na uzinduzi wa namba mpya ya menu iliyorahisishwa *147*00#. Menu hii mpya itamuwezesha mteja kupata huduma mbalimbali kwa urahisi. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye tamasha la Tigo Fiesta 2017 mjini Moshi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...