Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa (katikati) akitoa maelekezo kwa Meneja mradi (TANROADS) Anold Maeda (wa tatu kushoto) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea mradi wa barabara ya juu katika makutano ya barabara ya TAZARA jana jijini Dar es Salaam. 
 Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa (Katikati) akitoa maelekezo kwa Meneja mradi (TANROADS) Anold Maeda (wa tatu kushoto) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea mradi wa ujenzi wa barabara ya juu unaondelea katika makutano ya barabara ya TAZARA jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mhandisi Mkazi kutoka Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) Kiyokazu Tsuji. 
 Baadhi ya mafundi wakiendelea na kazi ya ujenzi wa mradi wa barabara ya juu (Fly Over) jana jijini Dar es Salaam.
Meneja mradi (TANROADS) Anold Maeda (kulia) akitoa maelezo kwa  Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa (katikati) kuhusu mradi wa ujenzi wa barabara ya juu (Fly Over) wakati Naibu Waziri huyo alipotembelea mradi huo jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mhandisi Mkazi kutoka Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA) Kiyokazu Tsuji.  

 Picha Na Eliphace Marwa - Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...