Mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria, Jaji Mkuu wa Tanzania , Mhe. Prof. Ibrahim Juma akiongea na wananchi kabla ya kufunga maadhimisho hayo katika viwanja vya shule ya sekondari ya Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi akiongea kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufunga maadhimisho ya wiki ya msaada wa kisheria katika viwanja vya shule ya sekondari ya Dodoma leo .
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akimshukuru Mgeni rasmi baada ya hotuba yake ya kufunga Maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria.
Sehemu ya wahudhuriaji wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria kilichofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Dodoma tarehe 8/12/2017.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...