Familia ya Dkt. Fanuel Maro na  Bibi Violet Maro ya Upanga Mashariki jijini Dar es salaam  inasikitika kutangaza kifo cha binti yao mpendwa Rose Fanuel Maro kilichotokea jana Alhamisi Desemba 7, 2017 katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam.

Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na marafiki popote pale walipo.

Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Mtaa wa Longido, Upanga Mashariki, jijini Dar es salaam.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa
Jina lake na lihimidiwe - AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...