Balozi wa China Nchini Tanzania Bi. Wang Ke akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) Mhandisi Deusdedit Kakoko mara baada ya kumtembelea ofisini kwake. Balozi Wang amefanya ziara hiyo ya kuja kutoa shukuruni zake kwa Mkurugenzi Mkuu kwa jinsi TPA ilivyohudumia meli yao ya Kichina yenye Hospitali. Pamoja na shukurani hizo, viongozi hao pia walizungumzia maendeleo ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo pamoja na jinsi Treni ya TAZARA inavyohudumia mizigo ipitayo bandarini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...