Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii Dodoma.
 Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha nchini zimesababisha adha Kubwa kwa watumiaji wa barabara  ya Dodoma -Morogoro kutokana na eneo kubwa la  barabarani kufunikwa na maji kuanzia Mtanana mpaka Kibaigwa. 
Maji hayo ambayo yamesababisha adha ya mabasi ya abiria na binafsi kushindwa kupita  kutokana na kufanya wasafiri kuendelea  kukaa hapo kwa zaidi ya Saa  nne kusubiri maji yapungue.
Wenyeji wa eneo hilo wamesema kuwa Maji hayo yamekuwa yakitoka milimani ambapo mvua zimenyesha kuanzia saa saba usiku











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...