Mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania TFRA imewatoa hofu wa kulima wa mkoa wa ruvuma, baada ya kufanya ziara ya kushitukiza katika maghala ya kuhifadhia mbolea SONAMCU ,na kukuta shehena ya mbolea ikiwa ya kuridhisha kama anavyobainisha Kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya mbolea Lazaro Kitunda.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...