Na said Mwishehe,Globu ya Jamii
NI ngumu kuzungumzia mahusoano ya kimapenzi ya watu wengine lakini kuna wakati unaamua kufumba macho na kuziba masikio useme japo kidogo.
Nikiri mahusiano ya kimapenzi wakati mwingine hukumbwa nachangmoto nyingi.Mungu nisaidie nifikishe ujumbe kwa ufasaha.Hata hivyo siri ya mtungi aijue kata.Wengine huwa ni wa kupata taarifa...bwana umesikia jamaa ameacha mpenzi au mke.
Wakati mwingine unaweza kuambiwa ndugu yangu yule mshikaji wako kaachwa na mkewe au mpenzi wake.Ni mambo ya kawaida kusikia waliokuwa na mapenzi moto na pengine kuwa ya mfano wa kuigwa yamefika tamati.Hata hivyo swali la msingi huwa watu wanataka kujua kwanini waliokuwa wanapendana wameachana.Hivyo sababu ndio huibua mjadala kwenye jamii.
Tena usiombe walioachana wakiwa ni watu maarufu na wenye kukubalika na kupendwa zaidi.Nikiri kwenye maisha yangu ya uandishi yaliyoanza rasmi mwaka 2001,sikuwahi kabisa kuandika chambuzi au maoni inayozungumzia wapenzi kuachana.
Sikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwani ni maisha binafsi ya watu wawili walioamua kupenda na kukaa pamoja na hatimaye wakaamua kuachana.Kwa mazingira ya aina hiyo unatoa maoni au kuandika uchambuzi il iweje?Hivyo huwa napotezea na ndio maana hata hili la juzi la Mkuu wa Wilaya fulani(jina kapuni) kutumia mitandao ya kijamii kumpongeza mumewe kuongeza mke wa pili kichwani kwangu halikunisumbua maana halina uhusiano na maendeleo ya Watanzania.
Ingawa aliyesema ni kiongozi wa umma na matendo yake wakati mwingine yana nafasi ya kuigwa na wengine hasa yale matendo mema.Nikiri kabla kuvunja mwiko huu wa kutoandika habari za uhusiano wa kimapenzi,niliamua kufanya mawasiliano ya kutosha na halmashauri ya ubungo wangu mwisho wa siku moyo,mwili na akili vikakubaliana si dhambi kuelezea walau kidogo.
Naomba niombe radhi kwa nitakaowakwaza kwa namna yoyote ile kwani kwenye maisha yetu haya lile ambalo wewe unaliona haliko sawa kwa mwingine anaona zuri na kulipa maksi za juu.Ndio maisha ya binadamu yalivyo.Hivyo niombe msamaha kwa yule ambaye kwa namna moja au nyingine nitamkwaza.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
NI ngumu kuzungumzia mahusoano ya kimapenzi ya watu wengine lakini kuna wakati unaamua kufumba macho na kuziba masikio useme japo kidogo.
Nikiri mahusiano ya kimapenzi wakati mwingine hukumbwa nachangmoto nyingi.Mungu nisaidie nifikishe ujumbe kwa ufasaha.Hata hivyo siri ya mtungi aijue kata.Wengine huwa ni wa kupata taarifa...bwana umesikia jamaa ameacha mpenzi au mke.
Wakati mwingine unaweza kuambiwa ndugu yangu yule mshikaji wako kaachwa na mkewe au mpenzi wake.Ni mambo ya kawaida kusikia waliokuwa na mapenzi moto na pengine kuwa ya mfano wa kuigwa yamefika tamati.Hata hivyo swali la msingi huwa watu wanataka kujua kwanini waliokuwa wanapendana wameachana.Hivyo sababu ndio huibua mjadala kwenye jamii.
Tena usiombe walioachana wakiwa ni watu maarufu na wenye kukubalika na kupendwa zaidi.Nikiri kwenye maisha yangu ya uandishi yaliyoanza rasmi mwaka 2001,sikuwahi kabisa kuandika chambuzi au maoni inayozungumzia wapenzi kuachana.
Sikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwani ni maisha binafsi ya watu wawili walioamua kupenda na kukaa pamoja na hatimaye wakaamua kuachana.Kwa mazingira ya aina hiyo unatoa maoni au kuandika uchambuzi il iweje?Hivyo huwa napotezea na ndio maana hata hili la juzi la Mkuu wa Wilaya fulani(jina kapuni) kutumia mitandao ya kijamii kumpongeza mumewe kuongeza mke wa pili kichwani kwangu halikunisumbua maana halina uhusiano na maendeleo ya Watanzania.
Ingawa aliyesema ni kiongozi wa umma na matendo yake wakati mwingine yana nafasi ya kuigwa na wengine hasa yale matendo mema.Nikiri kabla kuvunja mwiko huu wa kutoandika habari za uhusiano wa kimapenzi,niliamua kufanya mawasiliano ya kutosha na halmashauri ya ubungo wangu mwisho wa siku moyo,mwili na akili vikakubaliana si dhambi kuelezea walau kidogo.
Naomba niombe radhi kwa nitakaowakwaza kwa namna yoyote ile kwani kwenye maisha yetu haya lile ambalo wewe unaliona haliko sawa kwa mwingine anaona zuri na kulipa maksi za juu.Ndio maisha ya binadamu yalivyo.Hivyo niombe msamaha kwa yule ambaye kwa namna moja au nyingine nitamkwaza.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...