Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Sweden Mhe.Wilbroad Peter Slaa alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha pia na kumuaga Rais baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo na Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Muhidin Ally Mboweto alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha pamoja na kumuaga Rais baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo na Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Sweden Mhe.Wilbroad Peter Slaa (katikati) na Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Muhidin Ally Mboweto walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha na kumuaga Rais baada ya kuteuliwa kushika nafasi hizo na Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akimsikiliza Balozi wa Tanzania Nchini Sweden Mhe.Wilbroad Peter Slaa (katikati) wakati wa mazungumzo yao na Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Muhidin Ally Mboweto (kushoto) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha na kumuaga Rais baada ya kuteuliwa kushika nafasi hizo na Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.Picha na Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...