Mbunge
wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa CHADEMA Kanda ya
Nyasa, Emmanuel Masonga wamehukumiwa kifungo cha miezi mitano jela kila
mmoja baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha
dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.
Hukumu hiyo imetolewa leo Feb. 26, 2018 na hakimu wa mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, Maiko Mteite baada ya kuridhika ushahidi uliotolewa upande wa mashtaka.
Pia mahakama hiyo imemuhukumu kifungo cha miezi sita katibu wa CHADEMA kanda ya nyanda za juu kusini Emmanuel Masonga kwa kosa hilo.
Washtakiwa hao wanatajwa kutenda kosa la kutoa maneno ya kumfedhehesha rais Disemba 31, 2017 katika viwanja vya Luanda Nzovwe wakati wakizungumza na wananchi.
Hukumu hiyo imetolewa leo Feb. 26, 2018 na hakimu wa mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, Maiko Mteite baada ya kuridhika ushahidi uliotolewa upande wa mashtaka.
Pia mahakama hiyo imemuhukumu kifungo cha miezi sita katibu wa CHADEMA kanda ya nyanda za juu kusini Emmanuel Masonga kwa kosa hilo.
Washtakiwa hao wanatajwa kutenda kosa la kutoa maneno ya kumfedhehesha rais Disemba 31, 2017 katika viwanja vya Luanda Nzovwe wakati wakizungumza na wananchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...