Mbeba mizigo katika soko la Buguruni akiwa amebeba matenga ya kubebea nyanya leo jijini Dar es Salaam.
Mwananchi akifanya usafi wa mazingira nje ya soko la Buguruni bila ya kuwa na vifaa vya usafi leo jijini Dar es Salaam,hali ambayo anaweza kupatwa na magonjwa ya kuambiza ikiwemo ya ngozi.
Kazi ikiendelea Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...