Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Great Hope Foundation, Noelle Mahuvi akizungumza wakati wa Sherehe ya uzinduzi wa tuzo za uwezo kwa shule za Sekondari zilizopo katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro ,ambapo wanafunzi wanaweza kuwasilisha mawazo yao na kuwezeshwa na taasisi hiyo.
 Sehemu ya Wajumbe wa Meza kuu ambao walifika katika Uzinduzi huo wakishuhudia moja ya mawasilisho ya Wanafunzi kupitia Sanaa.
 Mmoja ya Majaji wa Tuzo za Uwezo , Hyasinta Ntuyeko akieleza vigezo vitakavyowafanya wanafunzi wa shule mbalimbali watakavyoweza kushinda pindi watakapowasilisha kazi zao katika shindano hilo, ambapo mwaka jana shule ya Mugabe iliibuka kidedea .
 Muwezeshaji , Samweli Ndandala akitoa somo namna ya kufikiri sana ili kushinda katika shindano hilo, ambalo linajumuisha shule zaidi ya 100 za Dar es Salaam, Pwani na Morogoro.
Sehemu ya Wanafunzi walioshiriki katika uzinduzi wa tuzo za uwezo kwa shule za Sekondari zilizopo katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...