Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.
Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.
Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.
Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.
Watanzania wametakiwa kuwa wazalendo katika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tano ili kuleta maendeleo kwa wananchi.Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME, alipotembelea ujenzi wa kituo cha afya cha MTYENGIMBOLE katika halimashauri ya MADABA, ambapo serikali imetoa shilingi milioni mia tano kwa ajili ya kituo hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...