Siku ya Jumamosi 10-Machi 2018

ASALAAM ALAIKUM WARAHMATULLAH WABARAKATU
Ungozi wa Al Madrasat Rahman na Masjid Qubah Segerea mwisho,Dar unawakumbusha waumini kuwa ile sherehe ya Maulid ya Kumswalia Mtukufu wa darja Mtume Muhammad (S.A.W) kuwa itafanyika Jumaamosi ya wiki hii tarehe 10.3.2018 Segerea Mwisho jijini Dar es salaam.

RATIBA: Kuanzia Saa 4 asubuhi maulid ya Kina mama(wanawake).
Saa 10 alahsir Wanafunzi wa Madrasa watasoma Quran 
Saa 2 usiku baada ya swalat inshaa Maulid ya jumuiya yakiongozwa na wanaume mnakaribishwa wote  kwa mawasiliano zaidi simu 071240732 au 0757608303
 Baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wakiwa katika shughuli ya Mawlid,Segerea mwisho,Dar es salaam mwaka jana
 Baadhi ya waumini wa kiislamu katika masjid Qubah,Segeres Mwisho,Dar
Jitokezeni kwa wingi katika Mawlidi,Madrsat Rahman Segerea,Mwisho,Dar.
  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...