Wafanyakazi TBL walivyoshiriki Kilimanjaro Marathon 2018
Idadi kubwa ya wafanyakazi kutoka kampuni ya TBL Group wameshiriki mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Kilimanjaro.Mashindano haya maarufu duniani yanadhaminiwa na kampuni hiyo kupitia bia yake ya Kilimanjaro Premier Lager.
Mwaka huu TBL Group imekuja na ajenda ya kuwezesha na kuhamasisha  upandaji mti katika maeneo yanayozunguka mlima Kilimanjaro ili kulinda mazingira,ambapo kwa kushirikiana na taasisi  ya Kilimanjaro Project, inatarajia kupanda miti 100,000.
Uhamasishaji wa mradi huu umeanza kutekelezwa wakati wa mashindano ya Kili Marathon yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. 
 Baadhi ya wafanyakazi wa TBL Group wakipongezana baada ya kumalizika mashindano ya Kili Marathon
Moja ya vibanda  vyenye vipeperushi vya kampeni ya kupanda miti na maelezo vilivyokuwa  vimewekwa mitaa mbalimbali ya mji wa Moshi
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...