Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage jana tarehe 6 Machi, 2018 amekabidhi eneo lenye ukubwa wa hekari 200 kwa mkandarasi SUMA JKT ambaye atakuwa na kazi ya kufanya leveling kwa ajili ya ujenzi wa sheds kwa Viwanda Vikubwa na vya kati. 
Katika eneo hilo la TAMCO Kibaha vitajengwa Viwanda vya nguo, Viwanda vya madawa ya binadamu na Wanyama, Viwanda vya kuunganisha magari na mitambo kama matrekta, ili kuongeza ajira kwa watanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...