Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amekabidhi mradi wa SIDO kujenga Industrial sheds kwa Mkandarasi SUMA JKT. Katika Makabidhiano hayo Waziri Mwijage ametoa miezi 2 kwa mkandarasi kukamilisha ujenzi wa majengo hayo. Mradi huo unakadiriwa kugharimu zaidi ya sh. Milioni 200,ambapo majengo yatajengwa ndani ya eneo la SIDO Mtwara lenye ukubwa wa hekta 8.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...