Mkazi wa Iringa, Mafinga Ndugu Mathias Edward (25) ambaye pia ni mshindi wa bajaji kupitia promosheni inayoendeshwa na kampuni ya michezo ya kubashiri SportPesa wakishirikiana na kampuni ya mtandao wa simu na wadhamini ya ligikuu Tanzania Vodacom wamemkabidhi bajaji hiyo mnano tarehe tisa mwezi huu. 

Alizungumza wakati wa makabidhiano yaliyoongozwa na mchezaji wa klabuya Simba Siza KichuyaNdugu Mathias alisema “Niliunganishwa na mjomba wangu ambaye makazi yake hasa ni mkoani Dodoma yeye ni mchezaji mzuri kwahiyo alinishawishi ili na mimi niweze kujiunga nakucheza. 
 
Kupitia bajaji hii itanisaidia kubadili maisha yangu na kuanza rasmi kujitegemea kimaisha nikiwa kama kijana nayekaribia umri wa miaka 28. Nikiwa kama kijana msomi mwenye stashahada ya ukutubi nilihangaika sana kutafuta ajira na mwisho ya siku nikaamua kujiingiza kwenye maswala ya kilimo ili kuinuaki patochangu. 
 
Nilikuwa nachezana SportPesa kwanjiaya USSD ambayo napiga*150*87#, urahisi ambao upo kwenye SportPesa na ndio unaotofautisha na kampuni nyingine za michezo ya kubashirini kwamba viwango vya kampuni nyingine za kubashirini vya juu sana lakini kwa kampuni kama SportPesa viwango vyao ni vizuri, rahisi sana kushindana kila kitu kiko wazi. 
 
Akizungumza wakati wa makabidhiano ya bajaji mchezaji mahiri watimu ya Simba Shiza Ramadhani Kichuya alisema “Kwanza kabisa napenda kukupongeze kwa zawadi hii uliyoishinda kwa kupitia ubunifu wako mwenyewe, ninaimani kuna watu wengi ambao wanatamani siku moja washinde kama wewe ulivyobahatika na inakubidi uwe mfano kwao kwa kuwaelekeza ili nao waweze kubahatika” “Mimi nikiwa kama mchezaji wa timu kubwa inayoshiriki ligi kuu Taanza rasmi kuchezana SportPesa iliniwezekuibuka mshindi siku moja” alimaliza Kichuya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...