Meneja wa mawasiliano wa Benki ya TPB, Chichi Banda (kulia), akimkabidhi Mfano wa hundi ya Sh.milioni 2 Kwa mratibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Anita Kosuri, kwa ajili ya kusaidia maandalizi ya mkutano mkuu wa wahariri Tanzania utakaofanyika hivikaribuni mkoani Morogoro. (Na Mpigapicha Wetu).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...