Wakulima wa zao la korosho wilaya ya Tandahimba na Newala mkoani Mtwara wamelalamikia kitendo cha kampuni ya JOPHULO LIMITED kutowalipa fedha zao zenye thamani zaidi ya Shilingi bilioni 3 tangu kufanyika kwa mnada wa 11 Disemba mwaka jana .
Wakizungumza na Ruvuma Tv , wakulima hao wanasema hali hiyo inawafanya kushindwa kujipanga na msimu mpya wa kilimo ambapo wanatumia nafasi hii kuomba serikali kuingilia kati sakata hilo.
Home
MICHUZI TV
WAKULIMA WA KOROSHO TANDAHIMBA WAIDAI KAMPUNI YA JOPHULO LIMITED ZAIDI YA BILIONI 3, WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...