Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na waumin wa Kiislam wakisikiliza mawaidha kutoka kwa Sheikh Sharif Badawi Ahmed, kutoka Mombasa nchini Kenya wakati alipohudhuria ibada ya Ijumaa, katika msikiti wa Gadaffi mjini Dodoma Aprili 6, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Rajab Shaaban, wakati alipohudhuria ibada ya Ijumaa, katika msikiti wa Gadaffi mjini Dodoma Aprili 6, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waumini wa Kiislamu, wakati alipohudhuria ibada ya Ijumaa, katika msikiti wa Gadaffi mjini Dodoma Aprili 6, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...