Zaidi ya miradi 70 yenye thamani ya shilingi bilioni 11.1 itazinduliwa na mwenge wa uhuru uliowasili mkoani RUVUMA,ambapo mwenge huo utakimbizwa katika halimashuri nane na kuitimishwa katika wilaya ya TUNDURU tarehe 11 utakabiziwa mkoani mtwara.
Hayo yamebainishwa na mkuu wa mkoa wa ruvuma CHRISTINA MNDEME
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...