Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Prof. Elisante Ole Gabriel akiongea na wanahabari baada ya kutembelea banda la TTCL Corporation katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama maonesho ya SabaSaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 30, 2018
Wafanyakazi katika wa  TTCL Corporation mbele ya banda lao katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama maonesho ya SabaSaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
 Wafanyakazi katika wa  TTCL Corporation mbele ya banda lao katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama maonesho ya SabaSaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam 
 
Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere akikaribishwa kutembelea banda la  TTCL Corporation  katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama maonesho ya SabaSaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.
m
 Wananchi mbalimbali wakipata maelezo walipotembekea  TTCL Corporation  katika viwanja vya maonesho ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama maonesho ya SabaSaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...