Mshindi wa  sita  wa gari  aina ya Renault Kwid  la promosheni ya  kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Batholomeo Kanjo mkazi wa Boko  jijini Dar es Salaam, akishuhudiwa na mke wake Frida Saimoni (kushoto )akikabidhiwa na Mkuu wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Dar es Salaam, na Pwani, George Lugata  funguo za gari  wakati wa hafla iliyofanyika katika Viwanja vya Mwenge jijini Dar es alaam. Yamebakia magari manne ili kushinda mteja wa Vodacom unatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu.
 Mkuu wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, George Lugata,(kulia) akimkabidhi  Kadi  na Funguo za gari mshindi wa  sita  wa gari  aina ya Renault Kwid  la promosheni ya  kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Batholomeo Kanjo ambaye ni mkazi  wa Boko  jijini Dar es Salaam,   wakati wa hafla iliyofanyika katika Viwanja vya Mwenge jijini Dar es alaam. Yamebakia magari manne ili kushinda mteja wa Vodacom unatakiwa kutumia huduma ya M-Pesa tu.
 Mshindi wa  sita  wa gari  aina ya Renault Kwid  la promosheni ya  kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Batholomeo Kanjo ambaye ni  mkazi wa Boko  jijini Dar es Salaam, akitoa ushuhuda jinsi alivyojishindia gari kwa waandishi wa habari  wakati wa hafla kumkabidhi gari hiyo iliyofanyika katika Viwanja vya Mwenge jijini Dar es Salaam 
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Plc, Jacqueline Materu akiongea kwa waandishi wa Habari pamoja na wananchi waliojitokeza kwenye viwanja vya Mwenge jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla kumkabidhi  Mshindi wa  sita  wa gari  aina ya Renault Kwid  la promosheni ya  kusherehekea miaka kumi ya M-Pesa, Batholomeo Kanjo .
 Mkuu wa Vodacom Tanzania Plc, Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, George Lugata,(kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 1  mkazi wa Mwenge Samweli Joseph baada ya kuibuka mshindi wa promosheni ya M-Pesa ,  wakati wa hafla kumkabidhi gari    aina ya Renault Kwid  mshindi wa sita Batholomeo Kanjo  iliyofanyika katika Viwanja vya Mwenge jijini Dar es alaam . 

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...