JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Menejimenti na Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa msiba wa dada yake Bi. Monica Joseph Magufuli uliotokea tarehe 19 Agosti, 2018 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Jjina la Bwana lihimidiwe - AMINA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...