Meneja Usambazaji wa Tigo Dodoma na Kondoa, Gidion Morris akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baaada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi kipengele cha mawasiliano kwenye maonesho ya Nanenane juzi mkoani Dodoma.
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde akimkabidhi cheti cha Kipengele cha Mawasiliano Kanda ya Kati kwa Meneja Usambazaji wa Tigo, Gidion Morris kwenye sherehe ya maadhimisho ya maonesho sikukuu ya wakulima Nanenane viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma juzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...