Senior Manager Retail Banking Azania Bank Mr. Jackson Lohay akizungumza na kutowa maelezo ya huduma zinazopatikana kupitia Benki ya Azania kwa Wananchi na Wateja wao wakati wa hafla ya Uzinduzi wa ZSSF Mobile App na kuadhimisha Miaka 20 pamoja na Mkutano Mkuu wa Nne wa Wadau wa Mfuko wa Jamii Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar. Azania Benk ni wadau wa Mfuko wa Jamii Zanzibar ambapo hutuoa huduma mbalimbali kwa Wanachama wa ZSSF.
Maofisa wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakifuatilia maelezo ya Mwakilishi wa Benki ya Azania wakati akitowa maelezo na fursa zinazopatikana kupitia Benki hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Nne wa Wadau wa Mfuko huo uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Wadau wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakifuatilia mkutano huo wa Nne wa Wadau wa ZSSF uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.
Wafanyakazi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakifuatilia Mkutano Mkuu wa Nne wa Wadfau wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakati Mwakilishi wa Benki ya Azania akitowa maelezo na fursa zinazotolewa na benki hiyo. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...