Waziri wa Viwanda ,Biashara na Uwekezaji Mh.Charles akitoa heshima za mwisho mbele ya sanduku lililobeba mwili wa aliyekuwa Ofisa Mwandamizi kitengo cha Mawasiliano katika Wizara hiyo,Marehemu Shadrack Sagati wakati wa shughuli za kutoa heshima za mwizo,zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja,Ilala jijini Dar.(picha na Emmanuel Massaka Globu ya jamii)
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akitoa heshima za mwisho mbele ya sanduku lililobeba mwili wa aliyekuwa Ofisa Mwandamizi kitengo cha Mawasiliano katika Wizara hiyo,Marehemu Shadrack Sagati wakati wa shughuli za kutoa heshima za mwizo,zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja,Ilala jijini Dar
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salum Mwalimu akitoa heshima za mwisho mbele ya sanduku lililobeba mwili wa aliyekuwa Ofisa Mwandamizi kitengo cha Mawasiliano katika Wizara hiyo,Marehemu Shadrack Sagati wakati wa shughuli za kutoa heshima za mwizo,zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja,Ilala jijini Dar
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala , Edward Mpogolo akitoa heshima za mwisho mbele ya sanduku lililobeba mwili wa aliyekuwa Ofisa Mwandamizi kitengo cha Mawasiliano katika Wizara hiyo,Marehemu Shadrack Sagati wakati wa shughuli za kutoa heshima za mwizo,zilizofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja,Ilala jijini Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...