Mkuu
wa Wilaya ya Arumeru Mhe Jerry Muro ameendelea na juhudi zake Za
utatuzi wa migogoro na safari hii amemuomba Mhe Jenista Mhagama ambae ni
Waziri wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu anaeshughulikia masuala ya kazi
kuingilia kati mgogoro huo ili kunusuru hatima Za maisha ya wafanyakazi
wanaodai mishahara Kwa miezi tisa sasa .
Hatua ya Dc Muro imekuja Mara baada ya wafanyakazi hao kuvamia ziara ya Mhe Mhagama akiwa katika Wilaya ya Arumeru wakati wa Uzinduzi wa kongamano la maafisa Maendeleo ya jamii nchini ambapo Mara baada ya kutembelea mabanda ya maonyesho kundi la wafanyakazi wa chuo Cha Mount meru lilimvamia Mhe Waziri Mhagama wakiwa na mabango wakitaka kujua hatima ya madai yao ambayo Mhe Mkuu wa Wilaya ya Arumeru amekuwa akipambana kuwasaidia wafanyakazi hao pasipo kuchoka.
Kutokana na tukio hilo, ilimlazimu Mhe Mhagama kutoa maelekezo kwa kamishna wa kazi nchini ambae alimtaka kuunda kamati ya wataalamu kutoka wizarani ambayo itaungana na Mhe Jerry Muro Mkuu wa Wilaya ya Arumeru katika kuhakikisha changamoto hiyo inatatulia haraka iwezakanavyo hatua ambayo ilipokelewa Kwa shangwe na wafanyakazi wa chuo kikuu Cha Mount ~Meru.
Hatua ya Dc Muro imekuja Mara baada ya wafanyakazi hao kuvamia ziara ya Mhe Mhagama akiwa katika Wilaya ya Arumeru wakati wa Uzinduzi wa kongamano la maafisa Maendeleo ya jamii nchini ambapo Mara baada ya kutembelea mabanda ya maonyesho kundi la wafanyakazi wa chuo Cha Mount meru lilimvamia Mhe Waziri Mhagama wakiwa na mabango wakitaka kujua hatima ya madai yao ambayo Mhe Mkuu wa Wilaya ya Arumeru amekuwa akipambana kuwasaidia wafanyakazi hao pasipo kuchoka.
Kutokana na tukio hilo, ilimlazimu Mhe Mhagama kutoa maelekezo kwa kamishna wa kazi nchini ambae alimtaka kuunda kamati ya wataalamu kutoka wizarani ambayo itaungana na Mhe Jerry Muro Mkuu wa Wilaya ya Arumeru katika kuhakikisha changamoto hiyo inatatulia haraka iwezakanavyo hatua ambayo ilipokelewa Kwa shangwe na wafanyakazi wa chuo kikuu Cha Mount ~Meru.
Mkuu
wa Wilaya ya Arumeru Mhe Jerry Muro ameendelea na juhudi zake Za
utatuzi wa migogoro na safari hii amemuomba Mhe Jenista Mhagama ambae ni
Waziri wa Nchi ofisi ya waziri Mkuu anaeshughulikia masuala ya kazi
kuingilia kati mgogoro huo ili kunusuru hatima Za maisha ya wafanyakazi
wanaodai mishahara Kwa miezi tisa sasa .
Baadhi ya Wafanyakazi wakiwa wamebeba mabango yao yenye jume mbalimbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...