Mkuu wa Kituo cha huduma za Mradi wa maendeleo ya Mji wa Fumba Franco Gohse akiwaeleza Wanajumuiya na Waandishi wa Habari kutoka Zanzibar na Pemba Press Club namna wanavyotunza mazingira kwa faida ya kizazi cha sasa na baadae.
 Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) na Jumuiya ya Waandishi wa Habari Pemba (PPC) watembelea Mradi wa Maendeleo ya Mji wa Fumba Nyamanzi (FTD) kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utunzaji wa mazingira.
 Maneja Mauzo wa FTD Fatma Mussa akitowa maelezo kwa Viongozi wa Jumuiya za Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) na (PPC) hawapo pichani,walipotembelea Mradi huo huko Fumba Nyamanzi, kulia kwake ni Franco Gohse na kushoto Muhsini kotoka Mradi wa Maendeleo ya Mji wa Fumba.
 Viongozi wa Jumuiya za Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) na (PPC) wakimsikiliza Meneja Mauzo wa Kampuni ya CPS inayojenga Mji wa Kisasa wa Fumba Nyamanzi. Viongozi hao walitembelea kujifunza mambo mbali mbali kuhusu Mradi huo.
 Msimamizi wa Bustani kutoka Kampuni ya CPS Muhsin Said akitoa maelezo kwa Wanajumuiya na Waandishi wa Habari kutoka ZPC na PPC kuhusu namna wanavyotunza na kuhifadhi mazingira huko Fumba.
 Mkuu wa Kituo cha huduma za Mradi wa maendeleo ya Mji wa Fumba Franco Gohse akiwaeleza Wanajumuiya na Waandishi wa Habari kutoka Zanzibar na Pemba Press Club namna wanavyotunza mazingira kwa faida ya kizazi cha sasa na baadae.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...