Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na  Kamuyaga Ibuga (kushoto) wakati alipotembelea Mradi wa Maji wa Nyamtukuza wilayani Nyang’hwale,  Novemba 28, 2018
PMO_0086-min
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea chanzo cha Maji katika  Mradi wa Maji wa Nyamtukuza wilayani Nyang’hwale, Novemba 28, 2018
PMO_0043-min
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitazama wingi wa Maji katika tangi  wakati alipotembelea Mradi wa Maji wa  Nyamtukuza wilayani Nyang’hwale Novemba 28, 2018.  Kulia ni Waziri wa Nisahati na Mbunge wa Chato, Medard Kalemani. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...