Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mhe.Thabo Mbeki Mwenyekiti
wa jopo la Umoja wa Afrika linalohusu Udhibiti na Utakatishaji wa Fedha
haramu kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es
salaam.Novemba 28,2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mhe.Thabo Mbeki Mwenyekiti
wa jopo la Umoja wa Afrika linalohusu Udhibiti na Utakatishaji wa Fedha
haramu kabla ya kuagana nae Ikulu Jijini Dar es salaam.Novemba 28,2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mhe.Thabo Mbeki
Mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Afrika linalohusu Udhibiti na
Utakatishaji wa Fedha haramu(watatu kutoka kushoto) kutoka kulia kwa
mhe.Rais Magufuli ni Bw.Barrister Akere Muna,Naibu Waziri wa Mambo ya
nje na Ushirikiano wa Afrika Dkt.Damas Ndumbaro,Bi Mojanko Gumbi (Wapili
kutoka kulia )Wakili wa Mhe.Thabo Mbeki, na Balozi Zuhura Bundala
(wakwanza kutoka kushoto) Ikulu Jijini Dar es salaam.Novemba 28, 2018.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza
na Wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kumaliza mazungumzo na
Rais mstaafu wa Afrika Kusini Mhe.Thabo Mbeki Mwenyekiti wa jopo la
Umoja wa Afrika linalohusu Udhibiti na Utakatishaji wa Fedha haramu
.Ikulu Jijini Dar es salaam.Novemba 28,2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway Nicolai Astrup kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.Novemba 28,2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway Nicolai Astrup alipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam Novemba 28, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi zawadi Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway Nicolai Astrup kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.Mazungumzo hayo yamehudhuriwa pia na Naibu Waziri wa Mambo ya nje na Afrika mashariki Dkt.Damasi Ndumbaro,Naibu waziri wa Kilimo Omary Mgumba pamoja na Balozi wa Norway nchini Elisaberth Jacobsen Novemba 28, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Norway Nicolai Astrup , Naibu Waziri wa Mambo ya nje na Afrika mashariki Dkt.Damasi Ndumbaro,Naibu waziri wa Kilimo Omary Mgumba pamoja na Balozi wa Norway nchini Elisaberth Jacobsen Novemba 28, 2018. PICHA NA IKULU
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...