
Katika kuhakikisha tatizo la mimba za utotoni Mashuleni linatoweka Mkoani Ruvuma, Mbunge wa Viti maalum Mkoani humo Kupitia chama cha Mapinduzi(CCM) Jackline Ngonyani Msongozi ametoa mifuko 50 ya Saruji katika shule ya sekondari Makita iliyopo Wilaya Ya MBinga kwa Ajili ya ukarabati wa Mabweni ili kuwapunguzia changamoto wanazokutana wanafunzi wakike pindi wanapokuwa wanarudi kutoka shule.
Attachments area
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...