Msafara wa Naibu waziri wa Maji Jumaa Aweso waonyesha uzalendo kwa kuungana na mashabiki wa timu ya Simba na Taifa kwa ujumla, kutazama mechi ya Simba dhidi ya JS Saoura akiwa njiani kuelekea Mara baada ya kumaliza Ziara yake katika Wilaya za Karagwe na Kyerwa.
Msafara huo umelazimika kusimama kwa Muda katika Kiwanja cha Hill top mjini Kayanga Wilayani Karagwe huku Mh. Aweso akishindwa kujizuia kuonyesha mapenzi yake dhahili kwa timu ya simba.
Naibu waziri wa maji Juma Aweso akishindwa kujizua wakati wa timu ya Simba ilipofunga goli la tatu timu dhidi ya Js soura
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...