Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni ya Yapi Merkezi inayojenga Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) jijini Dar es salaam, kabla ya kuanza ziara ya kutembelea Mradi huo kutoka kituo cha Ilala hadi kituo cha Kilosa mkoani Morogoro. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiangalia sehemu ya reli ya Kisasa SGR iliyokamilika wakati alipofanya ziara ya kutembelea mradi huo kutoka kituo cha Ilala hadi kituo cha Kilosa mkoani Morogoro. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akiwasilia katika kituo cha Soga kilichopo mkoa wa Pwani kwa ajili ya kuona namna mataluma ya reli yanavyotegenezwa katika kituo hicho wakati alipofaya ziara ya kutembelea Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka kituo cha Ilala hadi kituo cha Kilosa mkoani Morogoro. 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa (kushoto) akimuelezea jambo Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, kuhusiana na Mradi wa Reli ya kisasa SGR, wakati alipofanya ziara ya kutembelea Mradi huo unaojegwa na Kampuni ya Yapi Merkezi. Picha na Jeshi la Polisi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...