Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akiwa na mke wake mama Mwanamwema Shein (wamwanzo)na Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Amali Riziki Pembe Juma wakikunjuwa Pazia kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja..
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akitoa hotuba  katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara Ikiwa ni miongoni mwa  ziara yake  kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma akitoa hotuba ya Makaribisho kwa Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Skuli ya Msingi Kwarara Ikiwa ni miongoni mwa  ziara yake  kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mhandisi wa Kampuni ya (SRAT CONSULT )ya Mwanza Tanzania Salim Rajab Twaakyondo kuhusiana na ujenzi wa Skuli ya Msingi Kwarara ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja.
 Baadhi ya Wanafunzi wa Skuli ya Msingi na Sekondari  Kwarara wakiwa katika sehemu ya Jengo la Skuli ya Msingi ambalo Limewekewa Jiwe la Msingi na Rais wa Zanizbar Dk Ali Mohamed Shein ikiwa ni miongoni mwa Ziara yake ya kuangalia miradi mbalimbali ya Serikali katika Wilaya ya Magharibi B unguja..
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...