Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Mwantatu Mbaraka Khamis(katikati) akizungumza katika Mkutano maalum na Jumuiya ya Wawekezaji katika Sekta ya Utalii(ZATI)katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Kikwajuni Zanzibar.
 Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi wakiteremka katika Pango la Gonga(GONGA CAVE)lililopo Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja baada ya kufanya ziara maalum kutembelea Sehemu hiyo .

 Muonekano sehemu ya wa Pango la Gonga(GONGA CAVE)lililopo Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja lililotembelewa na Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

 Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi wakipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Pango la  Gonga(GONGA CAVE) Issa Abdalla Ali  Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja.
 Msimamizi wa Pango la  Gonga(GONGA CAVE) Issa Abdalla Ali akionesha Mifupa ya Binaadamu iliokutwa ndani ya Pango hilo lililopo  Muyuni Wilaya ya Kusini Unguja.
 Wajumbe wa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi wakitembelea Msikiti wa Kizimkazi uliojengwa mwaka 1184 na Washirazi kutoka Pashia katika ziara maalum katika sehemu za Makumbusho na Mambo ya kale.
 Msikiti wa Kizimkazi uliojengwa mwaka 1184 na Washirazi kutoka Pashia namna Unavyoonekana kwa Ndani sehemu ya Kibla .
Mtunzaji wa Msikiti wa Kizimkazi kutoka Idara ya Makumbusho na Mambo ya Kale Yussuf Rakib Ashkina akitoa maelezo kuhusu maandishi yaliomo ndani ya Msikiti huo kwa Kamati ya Maendeleo ya Wanawake,Habari na Utalii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...