Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP)  Stephen Massele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma.
Katibu wa Bunge Stephen Kagaigai akimsikiliza Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) Stephen Massele aliyemtembelea Ofisi kwake Bungeni Mjini Dodoma.  Massele aliongozana na Rais wa Umoja wa Vijana wa Bunge la Afrika Mboni Mhita  pamoja na Mjumbe wa Bunge la Afrika David Silinde. 

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...