Jeshi la Polisi Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma linawashikilia viongozi kumi na moja wa Chama cha msingi MJI MWEMA kwa kuwaibia wakulima tani 10 za korosho zenye Thamani ya Shilingi milioni 33. Watuhumiwa hao wamekili mbele ya kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo kuhusika na wizi wa fedha hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...