RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Alim Mohamed Shein, akiondoa kipazia kuashiria kuufungua Msikiti wa Masjid Maryan Mtende Wilaya ya Kusini Unguja kushoto Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar Ndh Said Salim Bakhressa, hafla hiuyo imefanyika katika Kijiji hicho leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekitin wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Waumini wa Dini ya Kiislam wa Kijiji cha Mtende Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa hafla hiyo ya Ufunguzi wa Masjid Maryam Mtende, uzinduzi huo umefanyika leo 5-4-2019
MWANAMCHI wa Kijiji cha Mtende Wilaya ya Kusini Unguja Sheikh Khamis Ramadhan Mbarak. akisoma risara ya Wananchi wa Kijiji cha Mtende wakati wa hafla hiyo ya uzinduzi wa Msikiti wao Mpya uliojengwa kwa Ufadhili wa Bw. Said Salim Bakhressa.
BAADHI ya Wananchi wa Mtende Wilaya ya Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakati wa ufunguzi wa Masjid Maryam Mtende Mkoa wa Kusini Unguja leo 5-4-2019
MIFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi akisoma dua baada ya kumalizika hafla ya Ufunguzi wa Masjid Maryam Mtende Wilaya ya Kusinu Unguja, kushoto Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, Mfanya Biashara Maarafu Tanzania Bw. Said Salim Bakhressa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Khamis Maalim Juma na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe Said Hassan, wakiitikia dua wakati wa hafla hiyo
MKURUGENZI wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Ibrahim Mzee mwenye miwani akijumuika na Wananchi wa Kijiji cha Mtende Wilaya ya Kusini Unguja wakiitikia dua wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Maryam Mtende leo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora na Utumishi wa Umma Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduzi Mhe. Haroun Ali Suleiman akitowa neno la shukrani wakati wa hafla hiyo ya ufunguzi wa Masjid Maryam Mtende Wilaya ya Kusini Unguja leo, baada ya uzinduzi wake leo.(Picha Ikulu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...