Mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya Exim Tanzania, Bw Andrew Lyimo akizungumza na wageni waalikwa pamoja na wateja wa benki hiyo jijini Tanga wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo mwishoni mwa wiki.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evodi Mmanda akizungumza na wageni walikwa pamoja na wateja wa benki y Exim Mkoani Mtwara waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo mwishoni mwa wiki.

Sheikh mkuu wa Mkoa wa Tanga, Sheikh Ally Luwuchu akizungumza na wageni walikwa pamoja na wateja wa benki ya Exim jijini Tanga waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wageni waalikwa pamoja na wateja wa benki ya Exim wakipata chakula walipohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo jijini Tanga mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Exim wakifuturu pamoja na wageni waalikwa pamoja na wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo jijini Tanga mwishoni mwa wiki.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la Mtwara Bw Ramadhani Magera (katikati) akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki
Meneja wa Benki ya Exim tawi la Mtwara Bw Ramadhani Magera (kushoto) akizungumza na baadhi ya wateja wa benki hiyo waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Sheikh Nurdin Mwangochi akizungumza na wageni walikwa pamoja na wateja wa benki ya Exim Mkoani Mtwara waliohudhuria hafla ya futari iliyoandaliwa kwa ajili ya wateja wa benki hiyo mwishoni mwa wiki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...