Mkurugenzi Msaidizi maendeleo ya Watoto kutoka Wizara ya Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Bw. Sebastian Kitiku akizungumza na wajumbe wa Mabaraza ya watoto Taifa na Mkoa wa Geita wakati wa mafunzo ya Kitini cha mafunzo kwa wawezeshaji wa Mabaraza ya watoto Tanzania yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16. 
Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Geita Bw. Aruni Arikana akizungumza na wajumbe wa Mabaraza ya watoto Taifa na Mkoa wa Geita wakati wa mafunzo ya Kitini cha mafunzo kwa wawezeshaji wa Mabaraza ya watoto Tanzania yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16.
Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara ya Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Bw. Christopher Mushi akielezea malengo ya ktini cha Mafunzo kwa wawezeshaji Mabaraza ya Watoto Tanzania kwa wajumbe wa Mabaraza ya watoto Taifa na Mkoa wa Geita wakati wa mafunzo ya Kitini hicho yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16. 
Mwakilishi wa Shirika la Save The Children Bi. Neema Bwaira akielezea umuhimu kitini cha Mafunzo kwa wawezeshaji Mabaraza ya Watoto Tanzania kwa wajumbe wa Mabaraza ya watoto Taifa na Mkoa wa Geita wakati wa mafunzo ya Kitini hicho yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16. 
Mwenyekiti wa baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Joel Festo akiwa pamoja na watoto wenzake wakisoma na kujadiliana kuhusu Kitini cha mafunzo kwa wawezeshaji wa Mabaraza ya watoto Tanzania wakati wa Mafunzo ya kitini hicho yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16. 
Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Watoto la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wawakilishi wa Watoto mkoa wa Geita na wadau wa masuala ya watoto wakijadiliana kuhusu Kitini cha mafunzo kwa wawezeshaji wa Mabaraza ya watoto Tanzania wakati wa Mafunzo ya kitini hicho yaliyofanyika Mkoani Geita kuelekea Siku ya Mtoto wa Afrika Juni, 16. 
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...