Leo tarehe 30 Juni, 2019 Tume ya Madini kwa kushirikiana na wadau wa madini imeendelea na utoaji wa elimu katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba kwa mwaka 2019 yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Taasisi za Serikali zinazoshiriki katika banda la Tume ya Madini ni pamoja na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Mpango wa Kuongeza Uwazi na Uwajibikaji katika Masuala ya Madini na Gesi Asilia (TEITI) 

Kampuni za madini zinazoshiriki katika Banda la Tume ya Madini ni pamoja na Williamson Diamonds Limited, Shanta Mining Co. Limited, Geita Gold Mining Limited, TANSHEQ, Marmo & Granito Mines (T) Limited na Afro Gems Limited

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...