Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan (kushoto) akiwa ndani ya Banda la Benki ya NMB alipotembelea banda hilo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba. Kulia ni Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel akiwa na mgeni wake. 
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan akisaini kitabu cha wageni ndani ya Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa.
Kaimu Meneja wa Banda la Benki ya NMB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa, Bi. Saumu Mohamed Mollel (kulia) akizungumza na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, Mheshiwa Hamis Hafidh Hassan alipotembelea Banda la NMB Sabasaba.
Wateja mbalimbali wa Benki ya NMB wakipata huduma ndani ya Banda la Benki hiyo walipotembelea Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea viwanja vya Sabasaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...