
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipochangia mada kuhusu kuimarisha amani na utulivu Barani Afrika katikati mkutano wa saba wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo katika Bara la Afrika (TICAD 7) uliohitimishwa leo kwenye Ukumbi wa hoteli ya Pacifiko Yokohama nchini Japan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...