Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuujulisha Umma wa Watanzania kuwa, Programu ya Mazingira ya Umoja wa Mataifa (United Nations Environment Programme-UNEP) imetangaza nafasi 5 za ajira zifuatazo:-
  1. Senior Administrative Officer;
  2. Senior Programme Management Officer;
  3. Chief of Section;
  4. Human Resource and Management;
  5. Deputy Chief Officer.

Wizara inawahimiza Watanzania wenye vigezo na sifa stahiki kuomba nafasi hizi. Kupata taarifa zaidi na taratibu za kuomba nafasi hizo tafadhali bofya HAPA


Imetolewa na:

Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika 
Mashariki

Dodoma, Tanzania.

30 Agosti 2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...