Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema maambukizi ya virusi vya ukimwi yamepungua kwenye Wilaya ya Tandahimba na amewataka wananchi kujiepusha na maambukizi mapya
Ameyasema hayo leo asubuhi wakati akitoa taarifa kwa kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru Mzee Mkongea Ally katika Kijiji cha Nanyhanga
Mwenge wa Uhuru umepitia miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Bil 1.7 Wilayani humo na yote imeridhiwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...