Mwenyekiti wa kikao cha maafisa waandamizi, (katikati) Bw. Emmanuel Kamugisha akiongea na wajumbe (hawapo) pichani wakati wa kikao. Kulia ni Mhandisi Stephen Mlote, Kaimu Katibu Mkuu Fedha na Utawala, kushoto ni Raphael Kanothi, Naibu Mkurugenzi- Wizara ya Afrika Mashariki na mahusiano ya jamii, Kenya.
Baadhi ya wajumbe kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika mkutano wa Maafisa Waandamizi wa Baraza la 39 la Mawaziri jijini Arusha leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...