Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akipata maelezo kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Karanga.

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akitoa maelekezo kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Karanga.

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akimsikiliza Meneja wa Miradi kutoka PSSSF bw. Marco Kapinga wakati akitoa ufafanuzi

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akipata ufafanuzi

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akipata ufafanuzi

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akisalimiana na Uongozi wa Kiwanda cha Karanga pamoja na uongozi wa PSSSF alipowasili kiwandani

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akiongea kuhusu Utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Karanga, kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Andrew Massawe na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF bw. Hosea Kashimba

Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Bw. Hosea Kashimba akifafanua jambo wakati wa kikao hicho

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akisikiliza maelezo kutoka kwa Maneja wa Kiwanda hicho Bw. Masoud Omari

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akisikiliza maelezo kutoka kwa Maneja wa Kiwanda hicho Bw. Masoud Omari

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akiuliza swali kwa Maneja wa Kiwanda cha karanga Bw. Masoud Omari.

Waziri wa Nchi katika ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (MB) akizungumza kuhusu utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za ngozi cha Karanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...