Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la Babawatoto, Mgunga Mwamnyenyelwa akizungumza katika mkutano wa kujadili changamoto mbalimbali zinazowakabili watoto wa mitaani uliowahusisha wadau wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika kwenye Ukumbu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hivi karibuni. Mkutano huo uliandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali la Babawatoto.
 Mkuu wa kituo cha Polisi Magomeni, OCS Laurent Idowa  akitoa maelezo ya namna ya kukabiliana na changamoto za kijinisa zinazowakabili watoto wa mitaani katika mkutano wa wadau wa kujadili unyanyasi wa kijinsia kwa watoto wa mitaani, uliofanyika kwenye Ukumbu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam hivi karibuni.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika lisilo la kiserikali la BabawatotoMgunga Mwamnyenyelwa (kulia) akiwa pamoja na washiriki wengine wakati wasikikiza maoni ya wadau wakati wa mkutano wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Afisa wa Jeshi la Polisi Dawati la Jinsia kanda maalumu, Mudathir Kato akitoa maelezo wakati wa mkutano wa wadau ww kujadili upigaji vita unyanyasaji wa kinjisia kwa watoto wa mitaani huo ulioratibiwa na taasisi ya Babawatoto organization hivi karibuni.
Picha ya pamoja ya wadau waliohudhira mkutano wa wadau wa kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto wa mitaani uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...